Santeeee🤠🤠🤠TUJIKUMBUSHE KIDOGO
MAKOLO 0 .......1 MLANDEGE
Leo lefa kala pesa ya makolo ....na bdo kawakataa[emoji23][emoji23][emoji23]
Mmh! Ngj tuone leo kama simba ataweza kumla huyo ndegeTUJIKUMBUSHE KIDOGO
MAKOLO 0 .......1 MLANDEGE
Leo lefa kala pesa ya makolo ....na bdo kawakataa[emoji23][emoji23][emoji23]
Wapemba wachawi Sana,mmekutana na mafundi zaidi yenu kwenye kuloga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie wachezaji wa simba hawaoni lango au? Yaan had nachekaaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliii.Wapemba wachawi Sana,mmekutana na mafundi zaidi yenu kwenye kuloga
Kwa hiyo sasa hivi ndio mnakumbuka kuna Afcon eeeh?Refaa maliza mpiraa hapo, hakuna jipyaaa.
Watu tuhamie AFCON.