Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kocha hamna kitu.Kanoute mbona kacheza vyema tu au ndio kukariri sub
Siku hazilingani.....acheni kumpa hofu...Ukuta wetu una tobo.
Tukikutana na timu yenye Straiker wazuri, tutapigika sana
Halafu viungo wamejaa. Hawa viongozi sijui wanafikiri vipi.Simba hatuna beki tukubali tu
Likitokea Kilwa? 😆Naona goli la tatu muda si mrefu
Bora tungeenda zenji kula urojoHuko Uturuki tuache kwenda
Tuwe wapole [emoji38][emoji38] muda badoLikitokea Kilwa? [emoji38]
Mabeki wa Simba ni wa kuwaadhibu Yanga...Simba hatuna beki tukubali tu
Labda ukisema wewe utasikika.Ukuta wetu una tobo.
Tukikutana na timu yenye Straiker wazuri, tutapigika sana
organism=orgasmUnajua viongozi wa simba ni kama viongozi wa ccm maana wote wamekuwa kama mwanamke ambae mutilated na hapati organism wakati wa kupigwa trees
Hahahahhahahhaahhaahaorganism=orgasm
Ihefu hii ambayo mwaka huu inashuka daraja?mpaka sasa hivi ipo kwenye mstari wa chini kabisa kwenye msimamoYanga akikutana na IHEFU mziki unakuwaje?
Kuwatoa Yanga ni kuwapa heshima.Simba atapigwa nyingi!Kwa nini umeitoa utopolo?