FT: Mtibwa Sugar 2-4 Simba l Ligi Kuu ya NBC l Uwanja wa Manungu, Morogoro l Agosti 17, 2023

FT: Mtibwa Sugar 2-4 Simba l Ligi Kuu ya NBC l Uwanja wa Manungu, Morogoro l Agosti 17, 2023

Patashika ya Ligi Kuu Tanzania kuendelea leo August 17 2023 kwa Bingwa wa ngao ya jamii Simba SC, Mnyama Mkali Mwituni, Lunyasi wakiwa na furaha ya kutoka kumshindilia mtani wake yanga kwa penati 4-1.

Sasa wanageukia ligi kuu kuwakaribisha Mtibwa Sugar, WakataMiwa kunako uwanja wa manungu mkoani morogoro

Mchezo huu wa leo unategemewa kuwa mkali na wakusisimua kwa muda wote wa dakika zote 90

tusubiri mwisho wa mchezo..! Usikose Ukaambiwa na kumbuka kabumbu hili murua litakuwa Mubashara Azam Sports1 View attachment 2719718
kuanzia saa 10: 00 jioni.

45' Ngoma anafunga bao la 3 kwa Simba

HT Mtibwa 2 - 3 Simba
Simba nyoronyoro
 

Attachments

  • 1692080124967.jpg
    1692080124967.jpg
    60.3 KB · Views: 1
Back
Top Bottom