Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Hii Simba itatupa presha sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaa. Mtani nimejikuta nacheka hadi napaliwa. Lol.Mkae kwa utulivu msitukere
🦁Nani anaongoza tatu?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Acha wanga..muwe wastaarabu timewakaribisha tuu humu mnataka kutuloga...
Umenifungua fikra zangu....huyu saido ndo anaharibu mfumo wetu anakimbiakimbia hovyo na hupoteza mipira kwa kiasi kikubwaSaido Asipo Kuwepo Mpira utaulia na unatembea aingie sasa [emoji1787]
Huwa napenda majibu ya aina hiiMwelevu wewe
Duh [emoji38][emoji38][emoji38]Bora angebaki Onyango tu. Huyu Malone anachomesha sana hata dhidi Dynamo alichomesha.
Sisi wengine tumelelewa tukalehekaHuwa napenda majibu ya aina hii
Simba nyoronyoroPatashika ya Ligi Kuu Tanzania kuendelea leo August 17 2023 kwa Bingwa wa ngao ya jamii Simba SC, Mnyama Mkali Mwituni, Lunyasi wakiwa na furaha ya kutoka kumshindilia mtani wake yanga kwa penati 4-1.
Sasa wanageukia ligi kuu kuwakaribisha Mtibwa Sugar, WakataMiwa kunako uwanja wa manungu mkoani morogoro
Mchezo huu wa leo unategemewa kuwa mkali na wakusisimua kwa muda wote wa dakika zote 90
tusubiri mwisho wa mchezo..! Usikose Ukaambiwa na kumbuka kabumbu hili murua litakuwa Mubashara Azam Sports1 View attachment 2719718
kuanzia saa 10: 00 jioni.
45' Ngoma anafunga bao la 3 kwa Simba
HT Mtibwa 2 - 3 Simba
Sio Genta kweli ?Bora li uzi la mtu fulani limeunganishwa...maana kama mtoto wa kambo kwenye familia haeleweki...
Hapa ni wapi 🤣Jamani huyu si ndio yule kipa wetu Ally Salum. 🤣🤣
Pole sana utavuta sigara tuMkeka wangu niliouweka:
Timu ya kwanza kupata goli: SIMBA
Baleke kufunga goli: NDIYO
Mpira wa Penati: NDIYO
Kwa hiyo bado item moja ya Mpira wa Penati nivute mpunga
View attachment 2719977
Kabisa mkuu , hakuna sababu ya kujiharibia siku yako kwa mambo yasiyo ya lazimaSisi wengine tumelelewa tukaleheka
hivi upo maana ilisemekana umepotea Toka fainali ya ngao ya jamii.
Ndio imebeba NgaoSimba nyoronyoro
Kweli ndugu 👊Kabisa mkuu , hakuna sababu ya kujiharibia siku yako kwa mambo yasiyo ya lazima