Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Umepata hasara bilioni ngapi hadi ufadhaike kihivyo?Tayari mfadhaiko imeshanigonga ndugu yangu;
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umepata hasara bilioni ngapi hadi ufadhaike kihivyo?Tayari mfadhaiko imeshanigonga ndugu yangu;
MO alipowaleteeni Barbara mlipiga makelele mkajifanya nyie ni much know kuliko yule madam hadi hadi akajiondoa.mhm!! hii sio simba ninayoijua mim...kuna namna tunachezewa...ila ni swala la mda2...
🤣🤣🤣🤣 Dah! Simba kweli ni wakugombania nafasi ya tatu na Namongo.Tuna viporo Viwili,
Point 47. Nafasi ya Tatu.
Azam ana point 54, Nafasi ya pili
Tukishinda hivyo viwili Tunakuwa na Points 53.
Sasa sisi tunabaki kuwaombea Azam dua wapoteze mchezo ili tuweze kucheza CAF CL
tatzo ni moja2...mo anatoa hela za usajili halaf znaishia kwenye mifko ya vidudu mtu...matokeo yake wanatuletea wachezaji ambao hawana hata sifa za kuitwa wachezaji.....huu ni ujinga wa kiwango cha lamiSimba fanyeni usajili Athenian blah blah
Njaa? Hii simba ipumzike kwanzaTuna viporo Viwili,
Point 47. Nafasi ya Tatu.
Azam ana point 54, Nafasi ya pili
Tukishinda hivyo viwili Tunakuwa na Points 53.
Sasa sisi tunabaki kuwaombea Azam dua wapoteze mchezo ili tuweze kucheza CAF CL
kwa simba hii, bado unawaza kwenda CAF CL!! si kwenda kujiaibisha2...bora wabaki na NBC PL wajifunze kwanzaTuna viporo Viwili,
Point 47. Nafasi ya Tatu.
Azam ana point 54, Nafasi ya pili
Tukishinda hivyo viwili Tunakuwa na Points 53.
Sasa sisi tunabaki kuwaombea Azam dua wapoteze mchezo ili tuweze kucheza CAF CL
Becouseit has no teeth🦁Why do lion roars?
1
2
3
4
Kadri pendo kati ya Simba na Yanga linavyoongezeka, ndiyo utamu wa mpira pia unapotea. Mpira hupendeza wakati simba na Yanga wakiwa jino kwa jino huku yanga ikiongoza kwa point moja au mbili tu, Sasa bila mvutano wa mpira baina ya Yanga na Simva tunaishia kukaa vijiweni na kupiga umbea mtupu, hapo ndipo mfadhaiko unapoanza kuleta matesoUmepata hasara bilioni ngapi hadi ufadhaike kihivyo?
Bothoo5ooo😂😂😂Ubuntuuuuu. . . . . . . . . . .
Na hizo hesabu zimepigwa na Mwasibu wake OKW BOBAN SUNZUHadi sasa Ahmed Ally anaamini kimahesabu Kolo atakuwa bingwa
Fisi nae ni mbwa kama simba nae ni pakaMambo vipi mbwa