FT: Namungo FC 0-2 Yanga, Ligi Kuu, Uwanja wa Majaliwa (Lindi), 07/12/2022

FT: Namungo FC 0-2 Yanga, Ligi Kuu, Uwanja wa Majaliwa (Lindi), 07/12/2022

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
90' Mwamuzi anamaliza mchezo
90' Zinaongezwa dakika 4 za nyongeza
85' Yanga wanaendelea kufanya mashambulizi
Tuisila Kisinda anafunga goli la pili kwa Yanga
82' GOOOOOOOOOOO
75' Namungo FC wamepata nafasi kadhaa za kupiga mashuti langoni kwa Yanga
66' Bado mambo ni magumu kwa Namungo, wapo nyuma kwa bao 1-0
59' Kasi ya mchezo inaongezeka
55' Yanga wanatengeneza mipango kwa kupiga pasi nyingi
50' Bado mchezo ni wa ushindani, wanapeana zamu kushambuliana
Kipindi cha pili kinaanza

MAPUMZIKO

45' Namungo wanapambana kusawazisha
Yannick Bangala anafunga baada ya kipa wa Namungo kuutema mpira
GOOOOOOOOOOOOO
40' Yanga wanapata faulo
35' Presha ya Yanga inaongezeka
26' Namungo wanafika langoni mwa Yanga lakini wanakosa umakini
20' Mayele anaonekana kuwa chini kama mwenye maumivu
18' Mayele anaangushwa ndani ya boksi lakini mwamuzi anapeta
11' Yanga wanamiliki mpira muda mwingi
9' Fei Toto anapiga shuti linapaa juu ya lango
5' Kasi ya mchezo bado haijachanganya
Mchezo wa Ligi Kuu Bara, umeanza, Yanga wakiwa ugenini, wanakaribishwa na Namungo FC.

Yanga kikosi.jpg

Kikosi cha Yanga

Namungo.jpg

Kikosi cha Namungo FC

Yanga wamemrejesha mshambuliaji Fiston Mayele katika kikosini cha kwanza baada ya kukosekana mchezo uliopita, wakati Namungo wakifanya marekebisho machache ‘benchini’ akiwepo Pius Buswita.
 
Tusipokuwa makini leo hawa Namungo watafanya kama walivofanya Ihefu
 
Back
Top Bottom