Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Kituuuuuuu
Bangala
Bangala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So wamewahonga Namungo ili waendelee kuvaa kaniki😀Zile tulizoambiwa tuvae na mganga ili tuendelee na anibiteni yetu
Mkeka ushachanikaNime bet hapa 0-0 kwa dk 90' huu mkeka lazima niule
Wamefungwa namungo lakini watanuna mikia na wauza aiskrimuKituuuuuuu
Bangala
Mkeka unapumua.??Nime bet hapa 0-0 kwa dk 90' huu mkeka lazima niule
Nakubali damu yangu🦦🦦🦦🦦Tayari huko tunaenda kutengeneza unbeaten mpya upyaaa
otimbi naitimbilio
Yanga na Ccm mnapenda sana ushindi wa mchongo.Tayari huko tunaenda kutengeneza unbeaten mpya upyaaa
otimbi naitimbilio
Ccm wanapenda michongo ila yanga wazee wa kuchonga hamna michongoYanga na Ccm mnapenda sana ushindi wa mchongo.
Siku hizi wanauza nyunga zile haram na za kunyunyuzia uwanjani.Wamefungwa namungo lakini watanuna mikia na wauza aiskrimu
B20 za mchongo [emoji848]Ccm wanapenda michongo ila yanga wazee wa kuchonga hamna michongo
kwanza mudi kawapa b20 zenu..?[emoji849]
Hawa jamaa wataendelea kuburuzwa na wahindi mpka ugoko upinde😄😄B20 za mchongo [emoji848]
Hawa makocha naona wamechoka kufanya kazi Yanga.Tusila hafai kuanza sijui wanampangia nini, anapoteza mipira hakabi,haforce. Kwa nini hawa mwanzishi Morrison au hata Farid.
Kwanini kolo?
We mla ngada unashida kichwani sio bureUtopolo wenzangu leo tunafungwa