Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Anywei, chuma ya pili...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulijisahau ukadhania Namungo ndo Yanga.Namungo 2- Yanga 0.
Utopolo wenzangu leo tunafungwa
Kumbe utopolo wenzako ni Namungo?Utopolo wenzangu leo tunafungwa
𝑼𝒌𝒂𝒌𝒂𝒂 𝒉𝒂𝒑𝒐 𝒖𝒌𝒂𝒅𝒉𝒂𝒏𝒊 𝑵𝒂𝒎𝒖𝒏𝒈𝒐 𝒂𝒏𝒂𝒊𝒇𝒖𝒏𝒈𝒂 𝒀𝒂𝒏𝒈𝒂 [emoji23]Namungo 2- Yanga 0.
Vice versa is trueNamungo 2- Yanga 0.
Rudisha kuku wa watu ndugu mgangaNamungo 2- Yanga 0.
𝑷𝒐𝒊𝒏𝒕 𝒏𝒊 𝒛𝒊𝒍𝒆𝒛𝒊𝒍𝒆 3 𝒏𝒐 𝒎𝒂𝒕𝒕𝒆𝒓 𝒖𝒎𝒆𝒄𝒉𝒆𝒛𝒂 𝒗𝒊𝒛𝒖𝒓𝒊 𝒂𝒖 𝒗𝒊𝒃𝒂𝒚𝒂Yanga mmeshinda against timu iliyocheza ovyo mno! Leo hatujaona ubora wa Yanga zaidi ya Namungo mbovu!!
Ulitegemea wachezaji wa Namungo kila siku wawe vizuri kimchezo kwani ni Malaika hao [emoji848]Yanga mmeshinda against timu iliyocheza ovyo mno! Leo hatujaona ubora wa Yanga zaidi ya Namungo mbovu!!
Sisi tunachoangalia ni pointi 3 muhimu. Tena hakuna raha kwa Wananchi, kama hii ya kuwafunga wadogo zake simba, na pia simba mwenyewe.Yanga mmeshinda against timu iliyocheza ovyo mno! Leo hatujaona ubora wa Yanga zaidi ya Namungo mbovu!!