utopolo og
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 575
- 1,575
Mayele kaisha sana. Asiporudi Kongo kwenda kuchochea dawa sidhani kama ataweza kufunga goli Tena msimu huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaaani hatari Sana..mpaka hii mechi iishe macho yatakuwa hoi Sana aiseHivi Azam Wana camera moja au? Mbona leo picha zinastack sana, alaf kamera inazungushwa kuufata mpira mpaka inaleta kero.
Ila wa mnyama ukianzishwa mtaruka ruka hadi siku inaishaKujazana kwenye uzi ndio kushida? Siku hizi mmekua kama wamama wa uswahilini mnataka kushindana kila kitu
Azam tv wameszinguaYaaani hatari Sana..mpaka hii mechi iishe macho yatakuwa hoi Sana aise
Yaani duuu!Azam tv wameszingua
Hii ni aibuYaani duuu!
Au sio damu yangu[emoji1787][emoji1787]Kagoli kenyewe kamoja
Gabachori hataki kutoa pesa.Ccm wanapenda michongo ila yanga wazee wa kuchonga hamna michongo
kwanza mudi kawapa b20 zenu..?[emoji849]
Kagoli kamoja ka NguruweKagoli kenyewe kamoja
Sio kwa ubaya!!!Gabachori hataki kutoa pesa.
Burudani Kwa wote 😀😀Azam miyeyusho
Inatuhusu nini sisi?Ila wa mnyama ukianzishwa mtaruka ruka hadi siku inaisha