FT: Namungo FC 0-3 Simba SC | NBC PL | 19.02.2025

Kama utani wa Jadi ni mzuri ngoja nikutanie "wewe ni mvamizi wa viwanja"πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hii red card nini kimetokea? Au kaongea lugha chafu????
 
Refa ni familiaπŸ˜†πŸ˜† mchana pamba wamepewa red card nayo sijui walifanyaje
 
Nn red kadi bado penalty YAAN SEHEMU tff wafanikiwe WAWEKE wahuni marefa mechi ya YANGA na Simba HAPO watajua kitimoto n ghali kuliko nyama zotee
 
Kama utani wa Jadi ni mzuri ngoja nikutanie "wewe ni mvamizi wa viwanja"πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kama utani wa Jadi ni mzuri ngoja nikutanie "wewe ni mvamizi wa viwanja"πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Bora kufuatilia ligi ya wadada . Haya makubwa jinga yanashindana kwenye ujinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…