mmh
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 2,910
- 5,084
We kiboko mkuu, achana na siasa komaa na mambo hizi you are the best kwenye hii field unatufundisha mambo mengi muhimu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We kiboko mkuu, achana na siasa komaa na mambo hizi you are the best kwenye hii field unatufundisha mambo mengi muhimu sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji736][emoji817][emoji1548][emoji1548][emoji1545][emoji1545]We kiboko mkuu, achana na siasa komaa na mambo hizi you are the best kwenye hii field unatufundisha mambo mengi muhimu sana
Ningependa kusikia maoni yako tena, kama upo hai lakini!Mpapaso square kwa Mikia
I wish angechemsha hicho chungu mechi ya Kaizer ChiefsWe kiboko mkuu, achana na siasa komaa na mambo hizi you are the best kwenye hii field unatufundisha mambo mengi muhimu sana
Leo utakuwa Jumbe Black umezidi uchawi jitoe masiziMapaka yameingia CHUMBANI kutoka yanashindwa.....
Japo mapema ila leo HAMTOKI huko Majaliwa Stadium.....
Mkuu Dilunga ndo kaleta mabadilikoCha ajabu wote mmekimbia na mmesahau kwamba mugalu kairudisha simba mchezoni na mugalu katoa asist ya goli la 2 ebu mnaonaje kama mtasema samahani mugalu kwa Yale matusi
Pamoja na hayo bado kwangu Mimi Mugalu siyo striker mzuli. Kabla ya goli na assist hakucheza vizuri.Cha ajabu wote mmekimbia na mmesahau kwamba mugalu kairudisha simba mchezoni na mugalu katoa asist ya goli la 2 ebu mnaonaje kama mtasema samahani mugalu kwa Yale matusi
Vipi lakini Biriani limekutosha au tukuongeze kidogo? Sema tu usione aibu hapa ni kwako jisikie huru.Nikirudia kukuquote kuna ubaya kwani eti. 🤣🤣🤣
Ndo kawaida ya binadamu mzeeCha ajabu wote mmekimbia na mmesahau kwamba mugalu kairudisha simba mchezoni na mugalu katoa asist ya goli la 2 ebu mnaonaje kama mtasema samahani mugalu kwa Yale matusi
Dilunga kabadili kila kitu!Utopolo udenda uliwatoka kama fisi alieona mzoga baada ya kuona mechi imekuwa ngumu kwetu.
Kumbe Dilunga alikuwa anawaangalia tu.
Hahahaaaa!! Haya bana.Vipi lakini Biriani limekutosha au tukuongeze kidogo? Sema tu usione aibu hapa ni kwako jisikie huru.
SIMBA NGUVU MOJA
🤣🤣Aaagh yaani jamaa zangu wamekata Moto kipindi Cha 2 duuh....kweli dakika ya 78 kiama chako kikaanza...Leo utakuwa Jumbe Black umezidi uchawi jitoe masizi
Mbona kinyongeHahahaaaa!! Haya bana.
Namungo moto mliouwasha ... Utawachoma wenyewe..niko kaziniView attachment 1801449