Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
š¤£Kimekuingia hicho. KICHOMOE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
š¤£Kimekuingia hicho. KICHOMOE
Kabla ya goli kampa mipira mingapi kagere kablow?Pamoja na hayo bado kwangu Mimi mugalu siyo striker mzuli. Kabla ya goli na assist hakucheza vizuri.
Ukitaka kujua ubovu wa mugalu usiwe na mihemko, angalia movement zake na jinsi anavyoji position wakati tunashambulia na utofauti na bocco anachofanya wakati tunashambulia.
Goli alilofunga ndiyo position anazotakiwa kukaa mshambuliaji wakati wa kushambulia lakini Mara nyingi huwa hakai vile.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] uto kama utoMapaka yameingia CHUMBANI kutoka yanashindwa.....
Japo mapema ila leo HAMTOKI huko Majaliwa Stadium.....
Kweli wewe mzee wa kilingeniTatu bila tena dozi inaendelea
[emoji44][emoji44][emoji44]
š¤£š¤£[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] uto kama uto
[emoji1787][emoji1787]Aaagh yaani jamaa zangu wamekata Moto kipindi Cha 2 duuh....kweli dakika ya 78 kiama chako kikaanza...
Hongera mfuga PAKA....
š¤£š¤£š¤£Sawa mfuga mbwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pole kwa msiba wa Shemeji yetu mke wa fundi Chama...
Sijui watakuja kuyafanyia kazi lini.Ila jamani hali ya viwanja lazima lifanyiwe kazi msimu ujao
Nimeipenda sana hiyoNamna gani pale BM3 anamkera Steven Seyi haaaaa haaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dah ila mkuu nilikuwa natoka jasho acha tu nilikuwa nimebana usinga kwapani saivi kwapa linauma[emoji23]
Mechi zinazofata mbona naona Simba na wajeda tupu.
boss niwekee kwenye frame kabisa nakuja na pesaWahi ziko chacheView attachment 1801579