Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga sasaWahi ziko chacheView attachment 1801579
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji817][emoji736][emoji1548][emoji44][emoji44][emoji44]
Doze iendelee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi je? Nilikuwa nakunywa Nederburg Barone haipandi,najifanya kufuatilia H/work za watoto,mara narukia topic ya kina Magige huko,huku narefresh hii page kuona kinachoendelea. Mweeh Ushabiki huu utakuja tupeleka pabaya haki[emoji23][emoji23][emoji23]
Leo nimejua kazi ya Mugalu, awe clinical pass penetrator, ni mzuri sana. Anatakiwa acheze na classical finisher kama boko au mk14Qudadeq hili kocha nalimugalu lake cjui vp tu! Yaani kamwacha captain benchi anaanza na mugalu tena? Jinga sana hilo kocha.
Mugalu ni mzuri sana kwa mfumo wa strikers wawili. Ila akiwa peke yake ni shidaLeo nimejua kazi ya Mugalu, awe clinical pass penetrator, ni mzuri sana. Anatakiwa acheze na classical finisher kama boko au mk14
kummamaae dilunga kila goli kahusikaMkuu Dilunga ndo kaleta mabadiliko
Post no #292Mwenye video ya morrison akimkera steven sey aitupie humu