hussein said bigawa
New Member
- Feb 27, 2024
- 3
- 4
Kila laheri yanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kocha naona anataka kumdakisha METACHA jamaa simkubaligi bora msheriNasikia Aucho Diara na Pacome hawatakuwepo Leo anyway ila ushindi lazima
Ahsante Mtani.Khaa
Wenzetu wanacheza siku ya wanawake ? Nawatakia sikukuu njema mashabiki wote wa Utozidad wakiongozwa na Shadeeya
Ujumbe:Lolote jema liwakute Namungo
Jirani hii ngozi unavaa siku hizi hata haikupendezi. Teh teh.
Hadi Musonda na Yao Yao kama sijakosea Mkuu.Nasikia Aucho Diara na Pacome hawatakuwepo Leo anyway ila ushindi lazima
😂😂 nakusalimia ndugu yangu.Sisi Makolo tupo mafichoni tutajitokeza humu pale matokeo yatakapokuwa mazuri upande wetu..
Shem hivi hawa ndo wameamua kuwapumzisha tu au? 😔Na Musonda.
Kabeeesaa. 💚💚💛💛Kam kauwaaa kam dauwaaaa daima mbeleeeee 💚💚💛💛💛💪💪💪🤛!
Kila la kheri Yangaaaa
Yanga soo ya mchezo mchezoHuwenda yakajitokeza yaliyo mpata simba au azam?
Hii wiki soo ya mchezomchezo
Umesikia.....!! Ok.Nasikia Aucho Diara na Pacome hawatakuwepo Leo anyway ila ushindi lazima
Mmwera anapigwa cha mkwezi leo.Mala paàaaaa nyuma mwiko kawekwa ...aloooooo
Kolo utakufa mdomo waziKhaa
Wenzetu wanacheza siku ya wanawake ? Nawatakia sikukuu njema mashabiki wote wa Utozidad wakiongozwa na Shadeeya
Ujumbe:Lolote jema liwakute Namungo