Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzur masaa hayarudi nyumaMmwera anapigwa cha mkwezi leo.
May the Lord Grant you a very good Suluhu!!Match Day
[emoji471] #NBCPremierLeague
[emoji460]️ Namumgo FC [emoji739] Young Africans SC
[emoji414] 08.03.2024
[emoji909] Majaliwa Stadium, Lindi.
[emoji797] 12:00 Jioni
#Daimambelenyumamwiko#.
Salama tu sijui wewe , furaha humu ni kuona Makolo wakiwa hawana furaha waendelee kubaki mafichoni huko huko wakijisonya wenyewe ..😂😂 nakusalimia ndugu yangu.
Kabeesa.Ndoivo rafiki tuna Imani na Yangaa💚💛💪
Cha mkwezi halafu watu wanachukua ndege hadi terminal 1 usiku.Uzur masaa hayarudi nyuma
Majeraha na familia.Hii inshu ya Pacome,Diara na Aucho na nasikia Musonda pia kutokucheza leo imekaje wadau?
Metacha sio kwamba ana red card mkuu?kocha naona anataka kumdakisha METACHA jamaa simkubaligi bora msheri
leo ndo tutamuona ZAWADI MAUYA yani nisiowapenda leo ndo watacheza
Mi niko poa ndugu yangu. 🙏Salama tu sijui wewe , furaha humu ni kuona Makolo wakiwa hawana furaha waendelee kubaki mafichoni huko huko wakijisonya wenyewe ..
Majeruhi Hawa raiaHii inshu ya Pacome,Diara na Aucho na nasikia Musonda pia kutokucheza leo imekaje wadau?
anayo ila kwenye msafara nimemuona.Metacha sio kwamba ana red card mkuu?
Mapema sana kihasibuuuMi niko poa ndugu yangu. 🙏
Hakika! Halafu ni muda sana hatujatia maguu kwenye ule uzi wa Kihasibu. 😂 Leo Aziz ki afanye jambo tukamsalimie muhasibu kule.
Cc. Evelyn Salt. 😀
Saa 12 jioni.Mechi saa ngapi
Metacha alipigwa red card hawezi kucheza leo..Metacha sio kwamba ana red card mkuu?
Inanikera sana kuiangalia Yanga inayoshinda kalibu kila Mechi.Saa 12 jioni.