Mbona sioni kama unazihimili?Ndio nimefunguka tatu za kimasai za chap unazihimili ?
Nimebahatisha tu mkuumkuu ww ni mganga ?
***** ukorofi 5GKesho sina ishu naenda pale karume kusikiliza porojo
Haya bana UtowizardsKolozidad tukutane mwakani π€£ππ€£ππππ
View attachment 2928576
Hiyo ni kazi yako. Mziki unauweza mtoto wa kike midfielder maestro katika dimba la sita kwa sita.Mbona sioni kama unazihimili?
Avatar ya kijungu imerudi wallah πYanii anakoswakoswa sio poa rafiki
Haha sasa wewe kuanza kushabikia mpira juzi siyo shida zetu, mpira haujaanza juzi kijana, lazima tuweke Rekodi sawa [emoji2][emoji2]Wakati huo mm nilikua sijaanza kushabikia. Nachojua mm toka nimeamza kushabikia yanga hatujakoaa ubingwa. Don't stuck to the past
Kwa ile rotation ya kikosi makolo wakajua leo tutadondosha point wapate kujifarijiOoh! Sawa Swahiba.
Makolo wamebakia kuhaha tu huku na kule. πππ Sisi waleee.
Ana utani na kijungu cha braza...
Wee usinchoshe...unazompaga mkeo times 4...Hiyo ni kazi yako. Mziki unauweza mtoto wa kike midfielder maestro katika dimba la sita kwa sita.
Unaweza kumili chap tatu za kimasai ? Kuwa mkweli
Haziwezi kukuchosha mbona ndogo hizoWee usinchoshe...unazompaga mkeo times 4...
π€£πππHaya bana Utowizards
Kwahyo hamtutaki tena kwenye mechi zenu hapa jukwaani? Kwamba mmeshafuzu?
Acha mambo ya kichoko machoko ndo huwa wana ng'ang'aniza mambo kama wanawake..yani habari haina mvuto atahangaika nayo wee..Haziwezi kukuchosha mbona ndogo hizo
Kila la heri mtani...π€£πππ
Naomba unipe kibali namim niweze kuzoom hilo wezere