Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sufuri²Updates
Alifanyaje hadi ale red card?Tayari wamebebwa. Yao ile red card.
Half bila bila..Kheee kwaherini uzi umekimbiwa...ngoja na mm niendelee ishu zangu..
Huwa wapo bize na nyuzi za 🦁 kesho utawaona ama baada ya game hii wakipata goli 🐸 vitatoka matopeniKhaaa Scars uko wapi atleast utie ndimu humu...
Hamna wasiwasi kwa sababu refa ni wenu.Tunaangalia marudio ya Prison vs Simba.
Yanga hatuna wasiwasi ni kawaida Point 3.
Update ni bila bila mpira upo half timeHuwa wapo bize na nyuzi za 🦁 kesho utawaona ama baada ya game hii wakipata goli 🐸 vitatoka matopeni
Mbumbumbu ni Mbumbumbu tu hata iweje hawezi kujificha asili yake.Tayari wamebebwa. Yao ile red card.
🐸🐸Wanachungulia na kutoka hawana imani na Metacha, sijui walimsajili wa nini 😂😂Huwa wapo bize na nyuzi za 🦁 kesho utawaona ama baada ya game hii wakipata goli 🐸 vitatoka matopeni
Hamna kashkash yoyte why tuwe na wasiwasi🐸🐸Wanachungulia na kutoka hawana imani na Metacha, sijui walimsajili wa nini 😂😂
Ngoja awachomeshe🐸🐸Wanachungulia na kutoka hawana imani na Metacha, sijui walimsajili wa nini 😂😂
Tuliza boli wewe kolo[emoji196][emoji196]Wanachungulia na kutoka hawana imani na Metacha, sijui walimsajili wa nini [emoji23][emoji23]
Na lawama zote watapeleka kwa Metacha huku akiwaacha waliotungua minazi bila kulenga goli 😂😂Ngoja awachomeshe