Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Mlishinda nyingi katika hayo mazoezi hadi mwarabu akachanganyikiwa ilhali yupo kwake 😁Yale yalikuwa mazoezi tu mkuu ,yaani tukifungwa kama tumeshinda na tukishinda kama tumeshinda .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlishinda nyingi katika hayo mazoezi hadi mwarabu akachanganyikiwa ilhali yupo kwake 😁Yale yalikuwa mazoezi tu mkuu ,yaani tukifungwa kama tumeshinda na tukishinda kama tumeshinda .
Ni mawazo ya 🐸🐸 wa jangwani haya.Simba tukitaka kushinda tuandamane kumfukuza MO Dewji.
Na Freddy wake.
Na Prisons wapo huko🐸🐸Endeleeni kujifananisha na hiyo miamba ya soka la ukweli, ulivyo fyatu unadhani team kuwa na channel whatsapp ni upuuzi, hivi kuwa huko timu zote (toa 🐸🐸) nguli duniani zinapimana ubavu huko whatsapp channels?
Mamelodi wapo huko, Al ahaly wapo huko, mnyama yupo huko ila🐸🐸mpo Mbagara na kibaigwa mnatesa NBCPL 😂😂😂
DuhYanga 3-1 Namungo!!!###ThridiKlozdi##
Ambaye ni mmoja wa Basha zako Tukuka.
Ukiwapata 🐸🐸huko utawakuta hata prison wapo hao ndio wababe wa NBCPL wapo vizuri sana kwa local matchesNa Prisons wapo huko
International naona nako tunabeba msimu huu sieti kolouzidadUkiwapata 🐸🐸huko utawakuta hata prison wapo hao ndio wababe wa NBCPL wapo vizuri sana kwa local matches
Wakubwa wanafaidi aisee,nikiwa mkubwa nataka niwe kama smart
Hahaha hahaha vichekesho vyako kingkong tunabonyeza wapi?.
Mtabeba tu maana hata huyo bingwa mtetezi ni kibonde wenu japo kawazidi $International naona nako tunabeba msimu huu sieti kolouzidad
Hao Namungo si ndio waliwachachafya hadi mkapigiana penalty then Kagere akawafanyia favor makoloBomu mortuary
Mtabeba tu maana hata huyo bingwa mtetezi ni kibonde wenu japo kawazidi $
Nimeshtuka Usiku huu.
ExactlyUmeuliza kwa hasira mnoo pole mtani..mimi ni mamalia nina zaa na kunyonyesha huo uchoko uko kwenu nyie wanaume..pole kwa kukuandikia comment hyo najua umeghafirika...ndo tabu ya utani unaweza kutania mambo ya hovyo ukute ni boss wako,baba yako au kaka yako...au mume au dada yako kabisaa sema mume wangu sio uto....
Nyie mliofika tayari kwenye aibu mlikuaga mnatumia niniNimeshtuka Usiku huu.
Mnajua kuloga sana.
Mwisho wa majini ni aibu