black angel
JF-Expert Member
- Jan 5, 2022
- 548
- 773
Mayele mpira haujamkutaa kabisaa tofauti na Kwa makamboMwanzo alikuwa ni Makambo tukasema hamna kitu, saizi ni Mayele tena mazingira yale yale naye kakosa
Tuseme bahati mbaya au tutumie maneno yale yale?