FT: NBC Premier League || Geita Gold 0-1 Yanga || CCM Kirumba, Mwanza || Oktoba 29, 2022

Mwanzo alikuwa ni Makambo tukasema hamna kitu, saizi ni Mayele tena mazingira yale yale naye kakosa

Tuseme bahati mbaya au tutumie maneno yale yale?
Mayele mpira haujamkutaa kabisaa tofauti na Kwa makambo
 
Mngelijua hili msingekuwa mnawatisha kwenye zile press zenu na kushinikiza mashabiki waandamane kwa Samia
 
Nishasema hawa ni unbeaten wa mchongo. Mechi kibao za kupata vipigo huwa wanaokolewa na maamuzi mabovu kutoka Kwa waamuzi wa mchongo.
 
Yanga mbakie na unbitten yenu.
Kwa hao marefa wenu hamta wahi kufungwa.
Marefa na ma lains men hawataki habari ya kufungwa yanga.

Yaani faulo ya katikati ya uwanja inakuwa Penati.

Kimataifa mtapigwa hadi mkome.
 
Kumbe Yanga wameshinda leo.
Ni ushindi wa juhudi za wachezaji.

Kwakweli wachezaji wanajituma sana na hadi wamefanikisha ushindi wa leo.
 
Kumbe Yanga wameshinda leo.
Ni ushindi wa juhudi za wachezaji.

Kwakweli wachezaji wanajituma sana na hadi wamefanikisha ushindi wa leo.
 
Kumbe Yanga wameshinda leo.
Ni ushindi wa juhudi za wachezaji.

Kwakweli wachezaji wanajituma sana na hadi wamefanikisha ushindi wa leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…