chichiboy1
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 1,371
- 1,856
Sababu lazima afungwe na Yanga FCMbona goal la Ihefu haliandikwi
Admin kasusaMbona goal la Ihefu haliandikwi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] amevimbewa mihogo huyo utopoloMbona goal la Ihefu haliandikwi
Endelea kuumia tu we Makolokolo/Mbumbumbu/Malalamiko/Makelele/Kolowizards/Ngada FC maana ni furaha sana kwetu sisi mabingwa wa NBC PL 2022/2023 [emoji16]Hakika utopolo wataendelea kubebwa tu
Hivyo we ulitaka uanzishwe saa ngapi eti? 😀😀Uzi unaanzishwa saa kumi kasoro, kweli hamjiamini
Usiku wa kuamkia leoHivyo we ulitaka uanzishwe saa ngapi eti? 😀😀
Endelea kuumia tu we Makolokolo/Mbumbumbu/Malalamiko/Makelele/Kolowizards/Ngada FC maana ni furaha sana kwetu sisi mabingwa wa NBC PL 2022/2023 [emoji16]
Hahahaaa. Lol.Usiku wa kuamkia leo
Kumbe hata nanyi huwa mnateseka na magoli ya offsides hivi, ila magoli yenu yale ya offsides ya Boko Haram dhidi ya timu zingine huwa ni raha tu[emoji1787]Hili bao la Yannick Bangala dhidi ya Ihefu ni Clear Offside..Makosa ya mwamuzi yanainufaisha zaidi Yanga.View attachment 2430846
Goli la Boko Haram dhidi ya Ruvu Shooting, goli lingine dhidi ya Mbeya City, Makolokolo/Mbumbumbu/Malalamiko/Makelele/Kolowizards/Ngada FC huwa haziwatoshi hata za kuvukia barabara [emoji1]Caf confederation cup ndio jibu na mwisho wa haya yote kuna mtu atakuja kuumbuka