FT: NBC Premier League: Ihefu SC 2-1 Yanga SC

Ihefu wamefanya sub za uongo

Hii mechi yanga anakomboa na kuongoza goli la tatu.
 
Tulia tulia,tumetaka angalao wana lete Mdhunguu mpate kufurahi japo kwa dk. Chache😄
Sisi Yanga tunajua mpira... Yanga kufungwa si jambo la ajabu... Ni sehemu ya mchezo
 
Viwanja vya mikoani viangaliwe upya pitches sio nzuri na inasababisha team kucheza mpira ambao sio wake kabisa.

Mpira ni burudani jaman
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…