Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimemaanisha hakuna timu duniani iliyowahi kufika unbeaten 50 kwa hiyo sie 49 sio haba,Ni 49.
Yaaani.....Huu mpira natamani ningeuangalia Wallah[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimeshindwa hata kuwaita mwee
Cake waibebe wapi Auntie?[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Alooh hivi hawajabeba cake leo
Siyo hivyo mkuu. Injinia aliidharau Ihefu akashindwa kutoa bahasha na Matokeo yake ndiyo hayo uliyoyaonaYaani niliangalia uchezaji wa leo ni kama vile hawakua kwenye mood,
Wakatwe mishahara kwa uzembe walioufanya leo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna mtu kamkatalia diamond kaja kumpa dogo janja [emoji1787]
Unbeaten ya mchongoSikujua kama Makolo mlikua mnaumizwa namna hii na Unbeaten ya Yanga [emoji1787]
Poleni sana kwa maumivu ya muda wote [emoji851]
Naugulia maumivu mtani Mtoto halali na hela hawa Ihefu, wametukosea adabu. Siamini kama hawa ndiyo wametuvunjia mwiko wa Unbeaten...Bantu Lady Leo upo wapi
Anibiteni ya nyokweeee [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Cake waibebe wapi Auntie?
Kweli Wahuni siyo watu wa kuwachukulia poa[emoji28][emoji28]
Uto mlale Mbalali msikimbie mume mapema! Rudini walau keshokutwa mpumzike kidogo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbele mwiko nyuma mwiko [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ha ha ha ha ha ha haha mwiko unaonekana!!?
Natamani nikupe pole jamani ilaaa. [emoji1787]Naugulia maumivu mtani Mtoto halali na hela hawa Ihefu, wametukosea adabu. Siamini kama hawa ndiyo wametuvunjia mwiko wa Unbeaten...
Anawafata vijana wenye damu inayo chemkaIla wazee tuitishe kikao tujadiliane, how huyu anatukazia alafu kwa dogo katoa kiulaiiiini? [emoji1787]