Aaahaaaa,pole mkuuuLikewise, Arsenal.. Jana na Leo sio siku nzuri
Tupe Updates MwambaKuanzia saa 1 jioni, hawa wanapambana.
Namungo keshapakatwaMpira ni wamoto wanapelekeana moto kinoma
Mkiani wapo Prison kesho yuko na mnyamaHivi anashika mkia au?
Dakika ya ngapi?Bado Kagera 1 Namungo 0
Timu zote zinashambulia