FT: NBC PREMIER LEAGUE: Mbeya City 3-3 Young Africans | 06/06/2023

Mpira wetu wa kiafrika hatuwezi kupoteza muda kama ulaya,sometimes huwaga napendaga sheria za NBA,basketball hupotezi mda ,mda wote mpira unatembea.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nilidhani uto wameuza hii mechi ila hapana walizidiwa haki bin haki
 
Kwani kuna nini kinaendelea humu? Maana naona uzi umekua marked as Live lakini nikifuatilia comments naona mnaongelea movies za akina Mzee Ashanti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…