FT: NBC PREMIER LEAGUE: Simba SC 3-1 Coastal Union | 09/06/2023

FT: NBC PREMIER LEAGUE: Simba SC 3-1 Coastal Union | 09/06/2023

Hongera sana Saido Ntibazonkiza , ulichofanya ni kidogo kwa macho ya wasioheshimu jitihada binafsi za wengine ila kwetu ni faraja na matumaini msimu ujao

Nenda Simba Nenda sisi zetu Dua
 
Mayele anapambaniwa pasi zote ni yeye hadi huruma 🤣🤣
 
Saizi kipaumbele hakiwezi kuwa ushindi kwasababu ushindi haubadilishi chochote.

Ukishinda bado unabaki nafasi ya pili

Ukifungwa bado unabaki nafasi ya pili.

Hakuna ushindi wowote ambao utakuwa na value kwako.

Hivyo value ikiyobaki ni kutoa wachezaji bora na wafungaji bora.

Tayari unaye Saido ambaye ana goli 15 nyuma ya Mayele kwa bao 1.

Hii haikuwa game ya kuja na plan za kushinda, ilikuwa ni game ya kuja na plan za kumiliki mpira eneo la mwisho ili Saido afunge.
Huo ni umuhimu kwa mashabiki ila kocha naye ana Malengo ya kimkataba. Ameagizwa shinda mechi kadhaa atataka apite malengo. Saido akichukua na akapata ushindi sawa, ila si kinyume.
 
Ee Mungu Baba tunakuomba ufanikishe hili jambo letu.
 
KMC anaongoza goli 1 kwa hiyo hata Coastal akifungwa yuko salama.
 
Saidoo ana assist nyingi kuliko Mayele, sijui nayo inaweza kuwa kigezo cha nyongeza kupewa kiatu cha dhahabu?
 
Back
Top Bottom