FT: NBC Premier League | Young Africans 5-0 JKT Tanzania | Azam Complex Stadium, Chamazi | 29/08/2023

Beki linalotegemewa na taifa stars linaanzia benchi, imagine.
 
mbona ndo usajili ulio sifiwa sana na wachambuzi
Bongo kuna wachambua MCHELE,
Simba ina shida ya kiungo mnyumbulifu, kabla ya kuja ngoma(ngoma hakuwa pointed ni simba wali hijack ile deal baada ya kugundua yanga wanamsajiri)
Kanoute na mzamiru ni wavunja kuni, si wanyumbulifu wagumu, kidooogo siku hizi wakicheza na NGOMA wanakuwa afadhali,
Usajili wa che malone(big tick)

Kina kramo, Luis, onana,chilunda walikuwa wanahitajika hao? Je simba wana shida ya watu hao?takwimu za msimu uliopita zinaonesha simba ana shida na washambuliaji? Unaleta chilunda li boko bado lipo.
Tizama position za pale juu kina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…