bullar
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 9,530
- 20,988
Tujenge timu hawa jamaa hawana mzaha tutakula KhamsaNaona Gongowazi unaongoza ligi.
Vipi hakuna parade kwa ajili ya jambo hili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tujenge timu hawa jamaa hawana mzaha tutakula KhamsaNaona Gongowazi unaongoza ligi.
Vipi hakuna parade kwa ajili ya jambo hili?
asisahau maumivu yakizidi akamuone daktariHizi ni dalili kupitia mateso makali ,hakikisha hautembiei pekee yako kipindi hiki.
Yaani yanga ashinde kocha ww Simba atimliwe?, Hivi nyie washabiki wa Simba mnajielewa kweli?.Simba wasipomtimua kocha tusionane wabaya
Kwenye kipindi hiki uliwahi kuwakumbusha kujenga timu ili waepukane na khamsa?Tujenge timu hawa jamaa hawana mzaha tutakula Khamsa
Kilichomkuta mwenzake ndicho kimempa huyu naye kesho nawawekea matantangaHongera GSM,
Hongera injinia Hersi Said.
Hongera kocha na fundi Gamondi.
Hongera kwa wachezaji wote wa Yanga.
Hongera wanachama na mashabiki wa Yanga.
Yanga hii naiona ikiwa semi final CCL.
Alamsiki.
Mzalendo wa mchongo unaendeleaje?Kila la kheri JKT Tanzania.
Watanzania tuwe wazalendo Kwa kusapoti jeshi letu
Wote mtakiri pira GamondTuache utani asee Uto wanapiga mpira mtamu mno,yaani kama ulianza kupenda mpira kabla ya kupenda timu basi lazima ufurahie mpira mtamu wa Utopwinyo,,daaah nataman Simba yangu ingecheza hivi[emoji848]
Naona Mbumbumbu umefukua mavi ya kale
Wakihistoria leo mnakataa mambo ya kale?Naona Mbumbumbu umefukua mavi ya kale
Hawajakutana na timu bora,Umeongea ukweli mtupu Jombaa. Jinsi Yanga wanavyocheza sasa hivi nawafananisha na Manchester City ukijifanya unataka kucheza nao bumper to bumper yaani uoneshane nao ufundi utafungwa kirahisi sana si chini ya goli 3.
Njia salama ya kucheza na Yanga unapaswa ku-absorb pressure kama una-park bus vile halafu unatumia nafasi ya gap wanalolitengeneza muda ambao wanakuwa wapo kwako ila ubaya pia wana golikipa anaweza ku-cover gap vizuri. Sio rahisi kucheza na Yanga kwa sasa hivi, pana quality kubwa mno baina ya wachezaji waliopo kikosini.
Tulia wewe imeuma?