Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ban kivipi na wakati tunashangilia kiustaarabu tu?Naona umeanza kufanya vurugu wewe, unatafuta ban kinguvu🤣🤣
Kuwafunga itakuwa jambo zuri.Tusubiri tu Simba atakutana nao ndio utanielewa ninachomaanisha
UtawauwaKila mtu amekaa kwenye nafasi yake ya milele.View attachment 2732767
Naona Gongowazi unaongoza ligi.Kila mtu amekaa kwenye nafasi yake ya milele.View attachment 2732767
Najua unafanya fujo ili @mods wakupige ban upate sababu ya kuto login, nimesha waambia kuwa unatafuta red card hivyo hata upigeje rafu wamezee tu, wasitoe faulo😃Ban kivipi na wakati tunashangilia kiustaarabu tu?
Ebu sema mwenyewe, tusi liko wapi kwenye picha hii?
View attachment 2732770
hii mechi 3 zilikuwa za penati, sisi goli 5 kila mechi hakuna penati
Hizi ni dalili kupitia mateso makali ,hakikisha hautembiei pekee yako kipindi hiki.
Na hiyo hapo ya juu??hii mechi 3 zilikuwa za penati, sisi goli 5 kila mechi hakuna penati
Hongera sana wananchiHongera GSM,
Hongera injinia Hersi Said.
Hongera kocha na fundi Gamondi.
Hongera kwa wachezaji wote wa Yanga.
Hongera wanachama na mashabiki wa Yanga.
Yanga hii naiona ikiwa semi final CCL.
Alamsiki.
Tatizo 5G za Utopolo ni kwa vitimu dhaifu dhaifu tena nyumbani .. asas, jkt
Umepost lakini hauna furaha hata kidogo.. kwa Yanga hii ukikwepa ya chembe unavunjwa uti
Daah bora venyewe sikukutana naye kwenye ngao angenipiga 5Umepost lakini hauna furaha hata kidogo.. kwa Yanga hii ukikwepa ya chembe unavunjwa uti
Umeongea ukweli mtupu Jombaa. Jinsi Yanga wanavyocheza sasa hivi nawafananisha na Manchester City ukijifanya unataka kucheza nao bumper to bumper yaani uoneshane nao ufundi utafungwa kirahisi sana si chini ya goli 3.Hapana natazama kwa macho yote mkuu.
Hii timu JKT walikuwa na uwezo wa kudroo au goli kubaki lile moja.
Yanga wanakamatika kirahisi sana.
Ukifunguka na kufuata mfumo wake lazima ukae.