uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
Ni ngumu sana 🤗Baadae ikishinda Makolo humu yatapoteana nao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ngumu sana 🤗Baadae ikishinda Makolo humu yatapoteana nao.
Aziz Ki ni ulimi njeNi kweli Yanga wamepoteana hapa
Kweli wananchi ,wamefurika kwa wingi mno.Inamaana mashabiki wa yanga huwajui ??
Mliambiwa mscreen shot msimamo mkawa mnacheka sasa tukikaa kileleni hatutokiYanga wapo 12 uwanjani
Kuna mchezaji wao mmoja kaingia na filimbi
Niliwaonya Goaaal Azizi KiKwenye redio.
Hapa niliwaonya Makolo.Faulo Yanga kapata eneo kama like Azizi Ki alilowafunga Madundukaz.