Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
π€π€¬πΉπ‘οΈππ’Kila la Kheir Mtibwa Sukari
Kapombe yeye hayupo kwenye list ya washikakaji wa Mgunda na Matola? Maana mechi iliyopita mlilamika kuhusu kupangwa wazee na washikaji ndio maana mmefungwa.Kapombe in the building
Lile lijamaa la Club Africain ambalo mechi 4 za mwiso lilikuwa linafunga mabao matatu matatu kila mecho, na lenyewe limekuja watu wameliona likishuka pale airportKila la Kheir Mtibwa Sukari
Ushikaji gani?Kapombe yeye hayupo kwenye list ya washikakaji wa Mgunda na Matola? Maana mechi iliyopita mlilamika kuhusu kupangwa wazee na washikaji ndio maana mmefungwa.
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
[emoji1787]Wakata miwa pigeni kwenye mshono wa opareshen ya Mwana Mfalme
Last match Okrah alikuwa amejirekebisha mbonaLeo macho ni kwa Okrah na Sakho... kama wamejirekebisha na kuacha ubinafsi.
Leo tunailamba mapema kabisaMnyama mkali Simba Sc tafuna hiyo miwa ya Mtibwa.
SIMBA NGUVU MOJA