Yanini yote hayo lkn[emoji23],Sakho kashona nguzo hatari sana! Sidhan kama ataendelea na mechi
Hamkamiwi ila simba Average players wengiMechi hii ni ngumu kweli kweli..maana hata hapa jukwani mwana JF mwenzangu ana maswali magumu magumu....ndugu wasikilizaji...
Anakwenda pale...lakini Moira unatoka nje unakuwa ni WA kurushwa kupelekea lango la...
Endelea kukaa hapohapo, jobless.Kwa huu uchezaji wa hovyo wa Simba,tutegemee matokeo haya
FT:ANY DRAW OR SIMBA 0: MTIBWA 1
NIPO NMEKAA PALE