FT: NBCPL, Simba SC 5-0 Mtibwa Sugar | Uwanja wa Mkapa | 30/10/2022

FT: NBCPL, Simba SC 5-0 Mtibwa Sugar | Uwanja wa Mkapa | 30/10/2022

Mzamiru
Inonga
Kapombe
Zimbwe
Chama
Zimbwe
Inonga

Okra
Okra

Chama
Mzamiru
Mkude
Sakho
Kapombe

Mkude
 
Manura
Inonga
Mkude
Inonga

Zimbwe
Inonga
Kapombe

Mpira unakataliwa
 
Tupate tangazo la biashara kidogo.....
Lalalalalala.....anakwenda Sasa....anakwatuliwa ndani ya peneti box lakini refa anasema twende.......anapiga pale.....na Mpira unatoka nje unakuwa ni goal kiki.....
 
Kibabage anazuiliwa pale

Manura
Chama
Chama
Inonga

Onyango
Zimbwe

Dakika 28'

Simba 0-0 Mtibwa
 
Dakika 30'

Simba 0-0 Mtibwa

Muda bado niwa kutosha

Inonga
Onyango
Onyango
 
Naona Mtibwa wamekamia kweli kweli Mechi hii......ingawa Simba wanaonekana imara na wenye Hali ya ushindi....au unaonaje mwenzangu....mwana JF??
 
Okra
Okra
Mzamiru
Mkude
Zimbwe
Mzamiru
Inonga

Mwihambi anaokoa pale

Faulo Phiri
Faida kwa mtibwa
 
Farooq Shikaro anapiga mpira ule

Dakika 33'

Simba 0-0 Mtibwa

Chama
Okra
Okra
 
Inonga
Kapombe
Inonga
Kapombe
Chama
Chama
Inonga
Chama

Farooq Shikaro kadaka pale

Sakho kagonga mringoti wa lango la Mtibwa Sugar hatari sana pale
 
Sakho kajigonga kwenye mwamba wa goli
 
Maana ya kukamia ni nini?

Unataka waachie mfunge ?
Mechi hii ni ngumu kweli kweli..maana hata hapa jukwani mwana JF mwenzangu ana maswali magumu magumu....ndugu wasikilizaji...
Anakwenda pale...lakini Moira unatoka nje unakuwa ni WA kurushwa kupelekea lango la...
 
Sakho kashona nguzo hatari sana! Sidhan kama ataendelea na mechi
 
Back
Top Bottom