FT: NBCPL, Simba SC 5-0 Mtibwa Sugar | Uwanja wa Mkapa | 30/10/2022

Rashford katupia huko, wakati Madrid wakichomolewa kwa penati
 
Sio kweli, angemkanyaga mara moja sawa, lakin 2 times, inaonekana alikusudia kumtoa dogo uwanjani kwa jeraha!.
Si katika harakati za kujitoa pale,umeangalia vizuri,mwenyewe tu alipojitoa jinsi alivyomkanyaga ,hakufuraia tukio lile
 
Goli limeingia wakiwa 11 uwanjani
Kipindi cha Pili hawana pumzi ya kurudisha wakiwa pungufu na kuzuia wasiongezwe magoli.

Timu za Tanzania ukitowa red card tu umeshaimaliza mechi, ni timu chache sana wanaweza kuwa na spirit ya kucheza pungufu na kulazimisha sare au kushinda.

Hii mechi imeshaisha, Kwaherini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…