passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,192
- 11,897
Utakuwa huna akiliSakho alistahili nayeye Red card,but kama kawaida marefa wetu makosa ya kibinadamu yanaziathiri team ndogo tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakuwa huna akiliSakho alistahili nayeye Red card,but kama kawaida marefa wetu makosa ya kibinadamu yanaziathiri team ndogo tu
Haya tumekusikia.Hakutegemea kumkanyaga,ile imetokea Kama ajali ,Ni kosa ndio lakini la yellow card
Nenda huko unaboaa yani unaboaaa. Ww ni litopolo kindakondaki sema hutaki kujulikanaSimba tunapendelewa huu ndio ukweli.. Niko tayari kuitwa utopolo
kwani ilikuwa yellow kwa sababu ganiKiaje?
Unaweza ukaweka sababu?
Wewe tulia. Hatuwezi kushinda bila timu pinzani kuwa pungufu? Huu ni uonevu wa waziwazi Kwa Mtibwa sugarhakuna red pale mkuu, refa uwezo wake ni mdg na mechi imemshinda
Yule kitenge nilimuona tangu mwanzo, hakuwa na mchezo mzuri kwa wenzakeKipindi cha Pili hawana pumzi ya kurudisha wakiwa pungufu na kuzuia wasiongezwe magoli.
Timu za Tanzania ukitowa red card tu umeshaimaliza mechi, ni timu chache sana wanaweza kuwa na spirit ya kucheza pungufu na kulazimisha safe au kushinda.
Hii mechi imeshaisha, Kwaherini.
Huwa namkubali sana toka akiwa kule sports am Kwa Mahmoud bin zuberi.Kumbe Mbwaduke anachambua Azam? Nilitegemea hili, hongera Azam
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Mimi sio kama mashabiki wengi wa Simba na Yanga mlivo wanafiki kwny ukweli mnaleta mapenzi ya timu zenu badala ya kusema ukweli.Nenda huko unaboaa yani unaboaaa. Ww ni litopolo kindakondaki sema hutaki kujulikana
chama alimkanyaga faisal, inonga kwa sure boy, achana na wawa kwa nchimbi ambazo ni makusudi hata yellow haikutolewaHakutegemea kumkanyaga,ile imetokea Kama ajali ,Ni kosa ndio lakini la yellow card
Ndo maana huwa sibishani kabisa mambo ya mpira, maana watu kama hawa bila kumpa tusi akili haikai sawa.Nenda huko unaboaa yani unaboaaa. Ww ni litopolo kindakondaki sema hutaki kujulikana
Ni hakika pumba na mchele vinaendelea kuonekana.Kipindi cha Pili hawana pumzi ya kurudisha wakiwa pungufu na kuzuia wasiongezwe magoli.
Timu za Tanzania ukitowa red card tu umeshaimaliza mechi, ni timu chache sana wanaweza kuwa na spirit ya kucheza pungufu na kulazimisha sare au kushinda.
Hii mechi imeshaisha, Kwaherini.
yamenza kujirudia ya mwaka juziWewe tulia. Hatuwezi kushinda bila timu pinzani kuwa pungufu? Huu ni uonevu wa waziwazi Kwa Mtibwa sugar
Simba tunapendelewa huu ndio ukweli.. Niko tayari kuitwa utopolo
Bwana ww ni Yangaaaa lialiaa hata bila kupepesa macho[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Mimi sio kama mashabiki wengi wa Simba na Yanga mlivo wanafiki kwny ukweli mnaleta mapenzi ya timu zenu badala ya kusema ukweli.
Simba nguvu moja
Namchukia uyu jamaa chaaaNenda huko unaboaa yani unaboaaa. Ww ni litopolo kindakondaki sema hutaki kujulikana