FT: Niger 0-1 Tanzania. Kufuzu Kombe la Dunia. Novemba 18, 2023

Sio DRC wewe.

Ni Congo Republic ile ya Brazzaville
 
Wanajitahidi halafu bado wadogo hata maturity yao unaiona kama tukiendelea hivi miaka kama mitano tutafikia level ya kutambulika Afrika
Maturity tena?
Mbona wengi hapo umri umeenda?
 
Match haijapewa uzito stahiki.., kila mahali watu wamekomaa na mabango ya Yanga, nimeshajua nini kinadumaza mpira wa bongo. Ni simba na Yanga. Maana wanapika wachezaji wa kigeni wanaoenda kuzipaisha nchi zao, huku sisi tukidumaa
Vilabu vina malengo yao, Tff ndio wenye jukumu la kuandaa vijana kujenga timu ya taifa, vilabu ni wadau tu.
 
Maturity tena?
Mbona wengi hapo umri umeenda?
Kun madogo wengi sana Bacca,Job,Novatus, huyo aliye funga goli, wapo wengi sana yaani kuna kitu una kiona cha msingi tusimame kwenye project na mipango yetu.Ila progress naiona.
 
Kun madogo wengi sana Bacca,Job,Novatus, huyo aliye funga goli, wapo wengi sana yaani kuna kitu una kiona cha msingi tusimame kwenye project na mipango yetu.Ila progress naiona.
Mpango bila Uzalendo hakuna
 
Game na morocco tukila chache ni tano.
 
Hata comment yako siyo ya kizalendo kabisa....ni comment ya hovyo na iliyojaa shutuma dhidi ya vijana wetu wanaolipambania taifa ukiwemo wewe ndani yake...huna haki kabisa kusema au kuandika kuwa eti vijana wetu hawaonyeshi uzalendo...
Umesema kweli. Wengi wetu tunachojuwa ni lawama. Kukosea katika mchezo ni kawaida lakini sisi huku nje tumejikita katika kutafuta makosa (mabaya) ya timu. Kama unauangalia mpira na nia ya kutafuta makosa, lazima utayapata. Let us be positiove. Hata mtoto wako kama kila siku ni matusi ya kumkatisha tamaa unafikiri atafanya vizuri!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…