Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,470
- 7,376
Wakuu hivi haiwezekani kuwe na timu ya taifa ambayo haitokani na wachezaji wa kwenye vilabu tofauti ili kuwe na mda wa kutosha wa kujiandaa,au club iitwe taifa stars inashiriki ligi pia ila wachezaji wa ndani tupu na gharama ya kuendesha itoke kwa TFF au wamtafute mdhamini, labda tutatoboa, kuliko kuleta sura jipya kila mechi
Umenena,,Hata comment yako siyo ya kizalendo kabisa....ni comment ya hovyo na iliyojaa shutuma dhidi ya vijana wetu wanaolipambania taifa ukiwemo wewe ndani yake...huna haki kabisa kusema au kuandika kuwa eti vijana wetu hawaonyeshi uzalendo...
Shirika gani tena?Hatuna uwezo wa kuendesha shirika hilo.
Haha.Tanzania hatuna mtu wala shirika lolote kubwa la mfano wa kusimamia kazi na kutiwa huduma za kiufundi "engineering" kama hilo.
Tusitegemee kabisa mafanikio kwa jinsi lilivyo. U.ushauri wangu kwa miaka mingi sasa, hilo shirika livunjwe, kila mkoa ujiendeshe kivyake kama vile kwenye maji.
Hatuna uwezo wa kuendesha shirika hilo.
Kumbuka uki qualify unaenda kukutana na Germany France England Brazil nk. Bora tu tutoke huku huku kwetu. Tutaaibisha taifaCharles Mmombwa
Kwa kifupi Tunacheza hovyo sana.
Na mbaya zaidi wachezaji hawaonyeshi uzalendo kabisa.
Au wameshajua hatuwezi kabisa kabisa ku qualify?
Tanzania hatuna mtu wala shirika lolote kubwa la mfano wa kusimamia kazi na kutiwa huduma za kiufundi "engineering" kama hilo.
Tusitegemee kabisa mafanikio kwa jinsi lilivyo. U.ushauri wangu kwa miaka mingi sasa, hilo shirika livunjwe, kila mkoa ujiendeshe kivyake kama vile kwenye maji.
Hatuna uwezo wa kuendesha shirika hilo.
Hapana bora tufike we hutakiKumbuka uki qualify unaenda kukutana na Germany France England Brazil nk. Bora tu tutoke huku huku kwetu. Tutaaibisha taifa
Dah[emoji848]Tanzania hatuna mtu wala shirika lolote kubwa la mfano wa kusimamia kazi na kutiwa huduma za kiufundi "engineering" kama hilo.
Tusitegemee kabisa mafanikio kwa jinsi lilivyo. U.ushauri wangu kwa miaka mingi sasa, hilo shirika livunjwe, kila mkoa ujiendeshe kivyake kama vile kwenye maji.
Hatuna uwezo wa kuendesha shirika hilo.
Kwamba Bonno hiyo siku anaenda na mkeka goliniSamattaπππ anakosa yeye na kipa
Dah yani morocco wameangalia wamecheka
Sema kocha wa sahivi nnachompendea anajua kushika bomba balaa litapangwa kosi ulinzi
Kosi 8:1:1
Hili wazo niliwahi kulileta humu ndani.Wakuu hivi haiwezekani kuwe na timu ya taifa ambayo haitokani na wachezaji wa kwenye vilabu tofauti ili kuwe na mda wa kutosha wa kujiandaa,au club iitwe taifa stars inashiriki ligi pia ila wachezaji wa ndani tupu na gharama ya kuendesha itoke kwa TFF au wamtafute mdhamini, labda tutatoboa, kuliko kuleta sura jipya kila mechi
AahaaaaHaha.
Bi mkubwa naona unachanganya madesa.
Unataka TFF igawanywe kila mkoa??
Nadhani ulitaka post ishu ya Tanesco.
Siku hiyo tutatupa bomu katika kambi ya wapinanaji wasio na mizaha katika vita ππFurahia lkn hiyo tarehe 21 na Morocco kwa uchezaji huu andaa leso..π
Patashika nguo kuchanikaSiku hiyo tutatupa bomu katika kambi ya wapinanaji wasio na mizaha katika vita ππ