Village-in
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 2,184
- 4,517
Kweli? Mbona walisema zimeongezwa timu? Au yale ya mbele?. Ngoja nifuatilie tena,huenda nimechanganya na kombe la dunia la mbeleWewe hizi taarifa za best loser umezitolea wapi? Africa tunapeleka timu 6 tu na makundi yapo 6 tu.
Siyo... DRC Congo. ( Mayele, Inonga)Ndio. Kuna Morocco,Zambia,Niger na DRC na Tz timu 5
Hivi hapa umeandika kutokana na kutojua au unabishana? Kwa nini kabla hujaonyesha u... Usingeenda hata LiveScore au google ukajiridhisha na ulichotaka kuandika? Kukusaidia tu, jumatatu (20/11/2023) kutakuwa na mechi za group I, sasa rejea herufi I ni ya ngapi kutoka herufi A.Wewe hizi taarifa za best loser umezitolea wapi? Africa tunapeleka timu 6 tu na makundi yapo 6 tu.
Morocco Haimo.Ili tutoboe tunahitaji sare mbili na moroko
Hatuna Wachezaji hasa kule mbele.Samata hamna kitu Huo ndio ukweli.Kwa mpira waliocheza stars ni matumaini hakuna.
Bado inaonekana tuna shida ya kocha
Ok. Sawa. Wale ni wetu waleSiyo... DRC Congo. ( Mayele, Inonga)
Sisi tupo kundi moja na Republic of the Congo.
Sio DRC wewe.
Ni Congo Republic ile ya Brazzaville
Jana nmeona timu ya taifa mpya kabisa, ile iliyocheza na Algeria imeenda wapi?Kwenye kundi letu wangejituma kidogo tu,ukiachana na Morocco,wengine wote ni wa kawaida sana. Kwa sasa sisi tunaweza kuwa level moja na Zambia.
Nimeangalia mechi ya DRC na Zambia. Hawa DRC wepesi mno. Hapo za kuwekana sawa inatakiwa iwe Zambia na Moroco tu. Wachezaji wakikaza kidogo tu hawa Niger ni wetu hawa,inatakiwa tuwatupie nje,ndani. DRC pia kwa walivyo sasa tuwatupie nje,ndani. Hapo inatakiwa wakija Moroco tupige nao patulo sale. Kwao acha watufunge. Tupambane na Zambia kwao sare,hata kwetu tukipata nao sare.
Hapo tayari tutakuwa tumemaliza na point 11[emoji3581] . Tutakuwa tumepita nafasi ya pili. Hata tukiangukia nafasi ya 3,kwa kundi letu ksbb ziko 5 maana yake timu ya 3 kuna timu itacheza nayo best rooser mtoano ndani na nje.
Kizuri zaidi timu sasa kutoka Afrika zimeongezwa nafikiri zitakuwa kati ya timu 9 au 10 hapo. Kwa hiyo sidhani kama tutakosa. Kocha kama mjanja waangalie sana mechi za DRC na Zambia,maana huko kuna point zetu wachezaji wakiongeza moto kidogo tu
Austria sio AustraliaKwa jinsi alivyopokea Ile pasi na ku dribble nikajua huyu hachezi soka Tanzania
Kubali tu mkuu kuwa kocha ni tatizo stars. Hata huyo Samata mbovu anapangwa na kocha.Hatuna Wachezaji hasa kule mbele.Samata hamna kitu Huo ndio ukweli.
Mnoga kacheza vizuri sana tena sana na stamina anayo na kailinda beki sanaAcheni usimba na Yanga Kuna mchezaji yupi Kwa Sasa anamzidi Mnonga
Sent from my TECNO BF7 using JamiiForums mobile app
Hatuna Wachezaji hasa kule mbele.Samata hamna kitu Huo ndio ukweli.
Kuna jamaa anasema plan ya Mwalimu ilikuwa kujilinda!Kubali tu mkuu kuwa kocha ni tatizo stars. Hata huyo Samata mbovu anapangwa na kocha.
Kocha ndie anaamua timu ichezeje
Umeonekana kabisa wewe ni yangaHuyu haji Mnoga anakimbiakimbia na kuanguka hovyo Kama mtoto hajui Hata kukwepa poor stamina poor fitness inamfanya Achoke hoi Kama amekimbia maili 300!
Amemuangukia Job na kumuumiza bila sababu yoyote .
Shauri ngozi nyeupe ndiyo maana kocha anampanga lakini Kiwango kidogo kuliko wachezaji wa ligi ya Tanzania , nafuu Hata wachezaji wa Ihefu au kmc .
Inasemekana anachezea timu ya daraja la nne huko England .
Fei Toto mzito amenenepa hana speed na uchu wa mashambulizi na mashuti kama zamani
Mbona fei ndiyo kaongoza kupiga pass za machoTukiongeza mazoezi ya pumzi na kukaba tukashikilia bomba hatufungwi na Morocco, ila tukifunguka tutapigwa nyingi. Lazima tuwaheshimu, faulo nje ya box hazitakiwi kabisa. Hawa mpira wao kama waarabu wengine hawana jipya na hawajui tunachezaje itatubeba!
Feisal bado sio yule, hivi sasa ni mzito sana muda wote anawaza kurudisha mipira nyuma sijui mbele anaogopa nini , mechi ya Morocco inamhitaji Mudathir tu katikati.
Samatta aache utozi, goli alilokosa akiwa yeye na kipa ni la kijinga kabisa, ila bado ni tegemeo letu mpira anaujua na amebadilika hivi sasa anakaba sana na kusaidia sana timu kule mbele. Kipa wa Niger alisumbuliwa sana na Samatta big up!
Ushindi dhidi ya Morocco pia upo tukitulia mwarabu anakaa tu kwa Mkapa hatoki Mtu, namuona Msuva akipiga goli mbili safi. Point 3 za Morocco tuzipambanie zitatubeba sana. Hii timu iko vizuri sana kushikilia bomba lazima tuseme ukweli
Mbona samata kacheza sana tuache kukalili watanzaniaHatuna Wachezaji hasa kule mbele.Samata hamna kitu Huo ndio ukweli.
Ubovu wa samata ni upi?Kubali tu mkuu kuwa kocha ni tatizo stars. Hata huyo Samata mbovu anapangwa na kocha.
Kocha ndie anaamua timu ichezeje