King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
76’ Goooooooooooooooal
Prince Dube anafunga goli la pili kwa Azam FC
Wanapigwa kama NGOMA ,Mandonga Mtu Kazi.... 😀 😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
76’ Goooooooooooooooal
Prince Dube anafunga goli la pili kwa Azam FC
Leo wanakufa kikeKufen kiume
Naona UTO mnajifariji mmesahau
SIMBA 2
UTO 0
KIBUUU DEEEEEEE
Waache watoke kiumeNasemaje mtoeni chama mtanishukuru, mnampa sifa sana huyo lakini mpaka sasa game ishamkataa, tunataka tucheze nanyi fainali watani
Kibu anatakua ni toleo jipya la Said Sued Scud, ambaye aliifunga Simba tu ktika mechi alizochezea Yanga😃Ahaaa kaka Kibu kawafunga Yanga halafu kaslide kama ulaya leo hafai, huyu Beleke si ndiye mnayesema kashinda goal 8 kwenye mechi tisa,kuweni wavumilivu bado dk zake.
Huwezi kuamini hawa wachezaji walipumzishwa kwa ajili ya game hiiHahahaaa! Nipo Mkuu.
Hawa ndio wazee wa kufa kiume. 😀😀
Mpe muda, amefanya bonge la sub, kamuingiza BoccoOoooh Robertinho ni bonge la kocha, mara ni tactician balaa. Fukuzeni hilo garasa kabla ya timu kushuka daraja
Kifo ni kifo tuLeo wanakufa kike
Wchezaji wote wamecheza vibaya. Siyo Kibu tu.Kibu kama kibu[emoji23][emoji23][emoji23]