Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kocha mbona tunaye, tatzo ni wachezaji. Simba imejaza lundo la wachezaji wabovuNikweli kua hatuna kikosi kizuri sana msimu huu ila nime conclude leo hatuna kocha mbahatishaji tu huyu mzee.
Humu kuna sifa kedekede kamwagiwa baada ya kufa kiume MoroccoNikweli kua hatuna kikosi kizuri sana msimu huu ila nime conclude leo hatuna kocha mbahatishaji tu huyu mzee.
oya😅😅😅akili za ugoro zile
La kuwafunga Yanga na Kufa kiume kule MoroccoHivi baada ya hapa sisi Makolo tutegemee kombe gani wadau? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mshaanza Tena Makocha FcNikweli kua hatuna kikosi kizuri sana msimu huu ila nime conclude leo hatuna kocha mbahatishaji tu huyu mzee.
Refa maliza mpira bwana tuwahi nyumani, wengine tunakaa mbali.....[emoji16]
Kombe la mbuziHivi baada ya hapa sisi Makolo tutegemee kunyakua kombe gani wadau? 🤣🤣🤣🤣
CAF Super LeagueHivi baada ya hapa sisi Makolo tutegemee kunyakua kombe gani wadau? 🤣🤣🤣🤣
Dah 😆🙌La kuwafunga Yanga na Kufa kiume kule Morocco
Ewaaaaa. Bila kusahau lile la Fei. 🤣🤣🤣La kuwafunga Yanga na Kufa kiume kule Morocco