Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amtoe chama akose kaziWhy Simba sub zinachelewa? Kuna wachezaji wamechoka, wengine game zimekataa why hadi dakika ya 70 hatubadiliki? Chama, Saido haikuwa game yao leo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hatutaki kombe lolote sisi msitulazimishe
Yaani Babra ametuweza sana hii misimu miwili- Uzuri ana machale! Kakimbia mapema.tulisha kosea sana kumtuma babra gengeni katujazia makachakacha juzi tena tumenda kuongeza maganda
mjinga sana yule binti kavurunda kakimbiaYaani Babra ametuweza sana hii misimu miwili- Uzuri ana machale! Kakimbia mapema.
Hahahaaa. LolSasa hivi wapo vizuri kwenye kuchambua vupengele vya mkataba wa Fei,so wakishamaliza hapa wakaendelee kuchambua vipengele.
Any update?Hawa wajinga lazima wakae leo
🤣🤣🤣 nimecheka sana yaani Mkuu.Wao wakiwafunga Yanga eti ndio kombe lao.. 😜😜😂😂
Shida Umbumbumbuni hakuna rotation, wachezaji wanawatreat as robots.Mna uhakika huyu ni chama kweli .......
[emoji848]
amekua kama John boko
Doooh! 😅😅Wana kombe lao la kufa kiume huko Tweeter [emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣Kombe la chai