FT: Nusu Fainali ASFC Cup: Azam FC 2-1 Simba SC : 07-05-2023, Uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara

FT: Nusu Fainali ASFC Cup: Azam FC 2-1 Simba SC : 07-05-2023, Uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara

Shida Umbumbumbuni hakuna rotation, wachezaji wanawatreat as robots.
shida lile dirisha tulipigwa na viongozi wanaosajili.
Muda mwingine unatamani kumlaumu mwalimu lakini ukikumbuka kwenye benchi kuna boko, kapama, nyoni, gadiel, sawadogo, Yule alietoka mbeya Kwanza, nk.... Unabaki kumuacha Tu ndani Chama,ntiba hata kama wamechoka.

Azam benchi unaliona Lina dube, kola, manyama, bin zeyd, idd nado, mukandara, tepsi evance,kipe jr, Edinho nk.....
 
shida lile dirisha tulipigwa na viongozi wanaosajili.
Muda mwingine unatamani kumlaumu mwalimu lakini ukikumbuka kwenye benchi kuna boko, kapama, nyoni, gadiel, sawadogo, Yule alietoka mbeya Kwanza, nk.... Unabaki kumuacha Tu ndani Chama,ntiba hata kama wamechoka.

Azam benchi unaliona Lina dube, kola, manyama, bin zeyd, idd nado, mukandara, tepsi evance, nk.....
Kipre jr.
 
Makolo makolo hasara tupu
 

Attachments

  • 20230415_225130.jpg
    20230415_225130.jpg
    124.2 KB · Views: 1
Back
Top Bottom