Amtoe chama akose kaziWhy Simba sub zinachelewa? Kuna wachezaji wamechoka, wengine game zimekataa why hadi dakika ya 70 hatubadiliki? Chama, Saido haikuwa game yao leo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hatutaki kombe lolote sisi msitulazimishe
Yaani Babra ametuweza sana hii misimu miwili- Uzuri ana machale! Kakimbia mapema.tulisha kosea sana kumtuma babra gengeni katujazia makachakacha juzi tena tumenda kuongeza maganda
mjinga sana yule binti kavurunda kakimbiaYaani Babra ametuweza sana hii misimu miwili- Uzuri ana machale! Kakimbia mapema.
Hahahaaa. LolSasa hivi wapo vizuri kwenye kuchambua vupengele vya mkataba wa Fei,so wakishamaliza hapa wakaendelee kuchambua vipengele.
Any update?Hawa wajinga lazima wakae leo
π€£π€£π€£ nimecheka sana yaani Mkuu.Wao wakiwafunga Yanga eti ndio kombe lao.. ππππ
Shida Umbumbumbuni hakuna rotation, wachezaji wanawatreat as robots.Mna uhakika huyu ni chama kweli .......
[emoji848]
amekua kama John boko
Doooh! π πWana kombe lao la kufa kiume huko Tweeter [emoji23][emoji23]
π€£π€£π€£Kombe la chai