VOICE OF MTWARA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 2,987
- 1,954
waongee sasa kama wanacho. 🤣🤣Jamaa wana mdomo sana wale 😂
Walipotoa droo na namungo wakadai nguvu wanaelekeza kwenye fa naona leo watadai nguvu wanaelekeza kwenye mapinduzi cup 😂waongee sasa kama wanacho. 🤣🤣
Noma sana Swahiba. 🤣Walipotoa droo na namungo wakadai nguvu wanaelekeza kwenye fa naona leo watadai nguvu wanaelekeza kwenye mapinduzi cup 😂
makolo hii ndio dawa yao 😂Noma sana Swahiba. 🤣
🤣🤣🤣🤣[mention]Moderator [/mention] FUTENI HUU UZI
HahahahaDube yule yule ambaye kila siku anatupiga
AahaaaaaaWalipotoa droo na namungo wakadai nguvu wanaelekeza kwenye fa naona leo watadai nguvu wanaelekeza kwenye mapinduzi cup 😂
Yule jamaa sijui Simba walimfanyiaga kosa ganiHakuna namna ni lazima tuliconsile na Dube dirisha hili
Tulia tuwanyooshe[mention]Moderator [/mention] FUTENI HUU UZI