FT: Nusu Fainali ASFC Cup: Azam FC 2-1 Simba SC : 07-05-2023, Uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara

FT: Nusu Fainali ASFC Cup: Azam FC 2-1 Simba SC : 07-05-2023, Uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara

Kwani jamani chama anachocheza ni nini, mbrazili anaogopa kumtoa aisee dah
 
Kulingana na Hali halisi ya utawala wa sisiemu uwanja uko vizuri
Hadi jana greda lilikuwa linapitishwa kwenye runway utadhani wameshtukizwa.

Hii mechi itaumiza wachezaji wengi kwa pitch hii.
 
Dubee[emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]
 
Kibu anafanya nini ndani,???? Baleke anafanya nini ndani???
 
Kapombe kachelewa kufanya recovery
 
Back
Top Bottom