Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahaaa kaka Kibu kawafunga Yanga halafu kaslide kama ulaya leo hafai, huyu Beleke si ndiye mnayesema kashinda goal 8 kwenye mechi tisa,kuweni wavumilivu bado dk zake.Kibu anafanya nini ndani,???? Baleke anafanya nini ndani???
Niliyaona mapemaaHapa ni kujiandaa kwa lolote tu..
Usimaindi mzeeeeRangi ya makopakopa yako.........
Marumo ushapaniki. Yaani unamaliza wiki vibaya na inayoanza unamaliza vibaya vile vileTOA CHAMA WEKA SAWADOGO[emoji41][emoji41][emoji41]
Sekunde tu baada ya kumnukuu mtangazaji, Dube akafanya yakeAnaingia Dube mtangazaji anakwambia "mabeki wa Simba wanatakiwa kufanya kazi mara mbili zaidi, kwavile wana kumbukumbu mbaya sana kwa namna Dube alivyokuwa anawafanya huko nyuma"
Hakika, yan wanacheza kifaza sanaSimba inacheza kwa kuridhika utafikiri inaongoza 5 bila
Mganga kafahuyo ndio kibu tunaye mjua sisi achana na yule wa darby ilikua ni booster ya mganga