John Gregory
JF-Expert Member
- Jul 14, 2019
- 1,137
- 2,147
Mleta uzi amekimbia baada ya dakika ya 76 🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kmmk huko watapigwa kama ngomaCAF Super League
Kilo moja cupHivi baada ya hapa sisi Makolo tutegemee kunyakua kombe gani wadau? 🤣🤣🤣🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi napenda mashabiki wa simba wateseke [emoji23]
hahahahahah tumemlaza hospitali ya Ligula mtwara hapaMleta uzi vipi mbona hutuambii matukio yanayoendelea uwanjani baada ya dkk 76?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mara hii yamekua hayo ,mlivyokua mnajaza server ya jamii forums kwa kumfungulia nyuzi kua ni kocha boraNikweli kua hatuna kikosi kizuri sana msimu huu ila nime conclude leo hatuna kocha mbahatishaji tu huyu mzee.
Mleta uzi vipi mbona hutuambii matukio yanayoendelea uwanjani baada ya dkk 76?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Andika bila kulia [emoji16][emoji38]Hatutaki kombe lolote sisi msitulazimishe