dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Unalia ukitokeaa wapi dada ilazo extension au swaswaUwiiiiiiii....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unalia ukitokeaa wapi dada ilazo extension au swaswaUwiiiiiiii....
Simba mwaka huu, ilikuwa mbovu' ikiwa na wachezaji zaidi ya asilimia 70, wasio na viwango na wakawaida sana..msimu ujao inabidi kusuka timu upya, Ili wasije Kaa miaka 5 pasipo kuwa timu yenye tija itakayoweza kurudi kwenye u ora na kunyakua ubingwa......Tusidanganyane timu ilikuwa kikosi chote cha Simba mwaka huu, kulikuwa kibovu na afadhali mwaka Jana...Timu mbovu hao walioanza ndo wanauafadhali
Preseason mlikwenda ugaibuni na mkaisifia. Hata kombe 1 msimu mzima mkuu?!Mambo hayakwenda tulivyotarajia....anyway usajili na maandalizi hayakuwa mazuri.
Say it againAzam hana uwezo wa kuipiga Simba mara 2 mfululizo ndani ya mwaka moja. Yaani alishinda,akatoa draw halafu leo nayo ashinde, never!
Kumbe ulimaanisha SimbaHawa wajinga lazima wakae leo
Kipa wenu kapewa sh ngapi na GSM?
Nasikia ndio milio yenu hio njia nzima toka Nangwanda mpaka Dar mnalia hivyo huku mnakimbia km mnafukuzwa na kitu msichokijua 😆Uwiiiiiiii....
Ulibet ukaliwa 😆Hwla yangu tu ndo yaniuma kutokana na huu usenge wa simba
Zimebakia pweint 3 tu ubingwa ukabiziwe sasa endelea kujifariji, hio unayosema inapotea ndio inakamilisha pweint 3 na hapo ndio ubingwa unachukuliwa nyie nendeni mkacheze Kombe la MbuziNBC PL bado mbichi. Mechi 3 zilizobaki tunashinda zote, Uto mkipoteza 1 na kutoka sare 2, thithi kolokolo tutakuwa mabigwa kwa goals difference.
Kocha yupo sema hana wachezaji Bora ukitoa wanaoanza first elevenNikweli kua hatuna kikosi kizuri sana msimu huu ila nime conclude leo hatuna kocha mbahatishaji tu huyu mzee.
Usifanye hivyo mtani, basi nakupa kombe la kufa kiumeIla twendeni mbele turudi mbele..hivi ni Simba ya kwanza kutoka bila kombe kwa timu za jangwani?? Yanga kwa miaka 4 imecheza upatu...kulia kupokezana
Bakini wenyewe muone kama patanoga humu...
Kwaherini
Simba died gentlemanly! 🤣🤣🤣NAOMBENI MNISAIDIE KIINGERZA CHA KUFA KIUME KUNA MZUNGU KANIULIZA SIMBA LEO VIPI NATAKA KUMJIBU KAFA KIUME KWA KIINGEREZA
Inayotupa unafuu ni ile derby tu basi bila hivyo, bakora zingetembea na kocha kufurumushwa.Mwaka huu bundi katua kabisa Msimbazi, hali ni mbaya sana, uongozi na mashabiki wa Simba wame
View attachment 2613542
vurugwa haswa..haha haa haa
Na kwangu ndio hivyo hivyo.Aiseeee mtaani kimyaaa