FT: Nyasa Big Bullets 0-2 Simba | CAF Champions League (CAFCL) | Bingu Stadium

Nusu fainali ya CAF kwa kiungo cha Mzamiru na winga Kibu ni ndoto za mchana.
 
Israel!......njia hii. Toka mechi ya mwisho Sudan alikimbizwa na yule Mkongo sikuwa na imani nae.

Hakuna beki wengine? Matola anamuamini nini huyu dogo? Ndio maana wengine wanasuspect kuwa anachukua 10%
Kapama anakanyaga beki mbili vizuri tu,hata Nyoni akiwa Azam alikua anacheza half back 2.mzee Onyango akiwa Arambee star ana wekwa mbavu ya kulia na anakiwasha mpaka nyasi zinang'oka.
 
Mnao angalia mpira mtupe update
 
Nyasa Big Bullets ushindi lazima
 
Big Bullet kule tukimpiga kama goli mbili hivi au zaidi hapo sasa huku Lupaso Ntwala tunamalizia tu kwa vinywaji laini kama juis,maji baridi na Al qasus mujarabu.
Hii mentality ya kuingia uwanjani tukiamini tayari tumeimaliza mechi ndo ambayo huwa inatucost sana, nikikumbuka ya UD SONG, JWANENG na KMC juzi nabaki kusikitika tu.

Inatakiwa game zote tunakaza kama hatujapata kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…