Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Kumekucha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona assist ya Kibu imezaa goliNusu fainali ya CAF kwa kiungo cha Mzamiru na winga Kibu ni ndoto za mchana.
Alafu yule mmbabu aliyeondoka anakwambia alikua hana imani na kiwango cha huyu mtu.Bonge la goli
Huyu Phiri ni mtu na nusu
Tayari huko mkuu acha kukaa kinyonge, inamaana umesahau kuwa Simba Sc hajawahi kuwa mbovu CAFCL & CAFCC hata kama ligi anambwela?Basi hiyo tu kwangu inatosha, matokeo ni kitu kingine kinachokuja mwishoni ila nidhamu ya mchezo na kujituma ndio kitu nilichopenda kuanza kukiona
Hapana sio CAF CL, sasa unategemea nani atakuja kuingia mkataba ili asubirie mechi za CAF tu? Ilitakiwa hawahawa wahakikishe mechi za team za Tz zote zinakuwa fresh, kama ambavyo DStv ana deal na za SA.Deal la miaka 10 hadi CAF CL?
Daaah hii imenipa hope sana mkuuTayari huko mkuu acha kukaa kinyonge, inamaana umesahau kuwa Simba Sc hajawahi kuwa mbovu CAFCL & CAFCC hata kama ligi anambwela?
Amekamata game kama yupo kwa Lupaso, labda afanye ujinga wake mwingine tu wa kuridhika.
Hii ndio kitu napenda kuiskiaTimu inacheza kwa tahadhari sana
Yule mbabu Hamna kitu.Alafu yule mmbabu aliyeondoka anakwambia alikua hana imani na kiwango cha huyu mtu.
Ebana baadae ntalicheki kwenye highlights kwenye big screen ya 60 inchGoal la CAF like Yani tuzo ya goal Bora itatoka kwa sakho iende kwa phiri
Acha bwana,,,,kwani kati ya kishingo na uchebe nani aliijenga Simba ile ya pasi milioni 60 kwa dakika?Yule mbabu Hamna kitu.
Kwa maoni yangu Kishingo ndio kocha bora tuliyewahi kuwa nae kwa muda mrefu sana.
Embu badili chanel uangalie yanga vs zalan kama nako hakuelewekiHapana sio CAF CL, sasa unategemea nani atakuja kuingia mkataba ili asubirie mechi za CAF tu? Ilitakiwa hawahawa wahakikishe mechi za team za Tz zote zinakuwa fresh, kama ambavyo DStv ana deal na za SA.
UchebeAcha bwana,,,,kwani kati ya kishingo na uchebe nani aliijenga Simba ile ya pasi milioni 60 kwa dakika?