Mech engineer
JF-Expert Member
- Aug 25, 2017
- 354
- 472
Angemuacha pale angekosa mkuu, we ni nabii😀😀😀Huyu Mchezaji wa Pamba FC kauza mechi amefanya vile maksudi ili awape penati Makolo FC huyu ni wa kufukuza kwenye timu.Ile sio bahati mbaya ni maksudi kabisa